MASHEHA wa Mkoa wa Mjini Magharibi, wameelezwa kuwa na wajibu wa kuwasimamia wamiliki wa majengo katika shehia zao kuhakikisha wanalipa kodi hiyo ili serikali...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka jana Zanzibar kuelekea mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi.
Katika safari...
TOKYO, Japani
WAZIRI Mkuu wa Japani, Kishida Fumio na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, wamekubaliana kufanya kazi ili kuboresha hali ya...
DAKAR, Senegal
SADIO Mane, anayevalia jezi nambari 10, ametimiza ndoto yake ya kihistoria ya kuisaidia timu yake ya taifa ya Senegal kushinda kwa mara ya...
Wataalam wa sheria wameonya kuwa Alec Baldwin huenda akashtakiwa kwa mauaji ya bila kukusudia kutokana na tukio la hivi karibuni la risasi ya bahati...
SANAA ya muziki ni moja ya fani maarufu duniani kote iliojizolea mashabiki wengi kutokana na burudani yake inayopatikana.
Umaarufu huo hutokana kwa njia mbali mbali...
NA MWANDISHI WETU
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha...
NA MWANDISHI WETU
TUNAPOANZA juhudi za kupinga vitendo vya udhalilishaji katika jamii, kuna umuhimu kwanza kwa kila mmoja wetu kujitathmin na baadae kutafuta mbinu...
NA MOHAMED HAKIM
ITAKUMBUKWA kuwa, Mei mosi mwaka 2021 wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia siku...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
KWA mujibu wa kumbukumbu zetu mnamo Machi 8 mwaka 2022, bweni la wanafunzi wanawake katika skuli ya Utaani ambao walikuwa kwenye maandalizi ya mitihani...
By Avit Chami
On 14th October, 2023 Tanzania commemorates 24 years after the death of the country’s first president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. With the...
KILA ifikapo Juni 5, dunia huadhimisha siku muhimu sana kwa mustakabali wa maisha ya viumbe wote wakiwemo binadamu, wanyama, wadudu na miti, hapa namaanisha...
NA ALI SHAABAN JUMA
SIMU za mkononi ni moja kati ya vifaa muhimu katika maisha ya kisasa ambapo kifaa hicho humuwezesha mtumiaji kuwasiliana na watu...
WAKITUMIA
vitisho na vurugu, kundi la wanamgambo wa Kiislamu lenye ngome yake katika nchi
ya Somalia iliyopo pembe ya Afrika, Al-Shabab limeripotiwa kukusanya mapato...
LEO tutajadili mbinu muhimu zitakazokupa mafanikio makubwa katika kupambana kuondoa kitambi.
KITAMBI
husababishwa na mafuta ya ziada yanayojikusanya katika sehemu...
MSIMU wa Ligi Kuu ya Zanzibar 2020/2021 unatarajiwa kuanza hivi karibuni baada ya kukamilika zoezi la usajili linaloendelea visiwani hapa.Tayari klabu kadhaa...
TUCHUKUE
fursa hii kwa dhati kabisa kuwapongeza sana wananchi wa Zanzibar, kwa
kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kitaifa la upigaji kura katika uchaguzi
mkuu...