Monthly Archives: November, 2020

Spika awataka wawakilishi kuzingatia maslahi ya wananchi

NA LAILA KEIS SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid, amewataka Wajumbe wa baraza hilo kuyatendea haki maslahi ya wananchi...

Mshitakiwa dawa za kulevya apingwa kupatiwa dhamana

NA MARYAM HASSAN GRAMU 2.2436 zimempeleka rumande mshitakiwa Suleiman Mgeni Ahmada (32) mkaazi wa Paje wilaya ya Kusini Unguja, kwa muda...

UN ina matumaini msaada wa kiutu utafika Tigray

 ADDIS ABABA,ETHIOPIA MKUU Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi, UNHCR, Filippo Grandi amesema ana matumaini kwamba viongozi...

PP adai hana nia kuendelea na kesi ya ubakaji

NA MARYAM HASSAN WAKILI wa serikali kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Issa Salmin, ameiambia mahakama kuwa, ofisi yake haina...

Masharti ya dhamana yamnusuru kwenda rumande

NA MARYAM HASSAN JUMA Ali Haji (20) mkaazi wa Chwaka wilaya ya Kati mkoa wa Kusini Unguja, amenusurika kwenda rumande...

Gebremichael mbabe anayeongoza vita dhidi ya serikali ya Ethiopia

PAMOJA na waziri mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed kutoa muda kuwataka wapiganaji wa kutoka jimbo la Tigray kujisalimisha kama suluhu pekee ya kumaliza vita...

Tuongeze kasi mapambano dhidi ya udhalilishaji

KILA ifikapo Novemba  25 dunia iliingia kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili na udhalilishaji wa kijinsia. Siku 16 za kupinga...

Japani,China zarejesha safari za kibishara

BEIJING,CHINA JAPANI na China zinarejesha safari za kibiashara kati ya nchi hizo, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupunguza vizuizi vya...

Latest news

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya...
- Advertisement -

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support...

Wazazi wanavyoshiriki kurejesha mtoto darasani

NA ASIA MWALIM LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo...

Must read

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of...