Monthly Archives: May, 2021

Hakimu ataka mashahidi kesi wizi vitu vya dhahabu

NA KHAMISUU ABDALLAH UPANDE wa mashitaka, uliokuwa ukiongozwa na Wakili wa serikali kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Mohammed Haji Kombo, umetakiwa kuwasilisha mashahidi...

WEMA kuwalipa Polisi waliosimamia mitihani

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amani, imekiri kutowalipa Askari Polisi stahiki zao ambao walishiriki katika mitihani ya kitaifa ya mwaka 2020, na kuahidi...

SMZ yarejesha tani 839.4 za bidhaa mbovu

NA KHAIRAT SULEIMAN, MADINA ISSA SERIKALI ya Zanzibar, imesema kupitia Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDA), itahakikisha bidhaa zote zinazoingia nchini zenye viwango vinavyokubalika...

ZASWA FC yaonja ushindi

NA MWAJUMA JUMA TIMU ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo ZASWA FC kwa mara ya kwanza imempa faraja kocha wao Abubakar Khatib Kisandu...

SMZ yakuza huduma za wenye ulemavu

NA ABOUD MAHMOUD IDARA ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, imefanikiwa kubadili maisha ya kundi hilo baada ya kuanzisha mfuko maalum kwa ajili yao pamoja, na...

CCM yawashukia wapanga safu uchaguzi 2022

NA MARYAM HASSAN JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar imesema haitawavumilia baadhi ya watu wanaopanga safu ya uongozi katika uchaguzi wa chama...

‘Asasi toeni elimu ya uhifadhi mazingira’   

NA LULU MUSSA, DODOMA WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo amezitaka Asasi zisizo za Kiserikali/Asasi za Kiraia (NGOs,...

Tanzania, Kenya yakubaliano mambo manne yakibishara

NA JOSEPH NGILISHO, ARUSHA TANZANIA na Kenya zimesaini makubaliano manne kati ya 64 ya kiuchumi katika nyanja za kibiashara ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa...

Latest news

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya...
- Advertisement -

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support...

Wazazi wanavyoshiriki kurejesha mtoto darasani

NA ASIA MWALIM LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo...

Must read

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of...