MASHEHA wa Mkoa wa Mjini Magharibi, wameelezwa kuwa na wajibu wa kuwasimamia wamiliki wa majengo katika shehia zao kuhakikisha wanalipa kodi hiyo ili serikali...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka jana Zanzibar kuelekea mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi.
Katika safari...
TOKYO, Japani
WAZIRI Mkuu wa Japani, Kishida Fumio na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, wamekubaliana kufanya kazi ili kuboresha hali ya...
DAKAR, Senegal
SADIO Mane, anayevalia jezi nambari 10, ametimiza ndoto yake ya kihistoria ya kuisaidia timu yake ya taifa ya Senegal kushinda kwa mara ya...
Wataalam wa sheria wameonya kuwa Alec Baldwin huenda akashtakiwa kwa mauaji ya bila kukusudia kutokana na tukio la hivi karibuni la risasi ya bahati...
SANAA ya muziki ni moja ya fani maarufu duniani kote iliojizolea mashabiki wengi kutokana na burudani yake inayopatikana.
Umaarufu huo hutokana kwa njia mbali mbali...
NA MWANDISHI WETU
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha...
NA MWANDISHI WETU
TUNAPOANZA juhudi za kupinga vitendo vya udhalilishaji katika jamii, kuna umuhimu kwanza kwa kila mmoja wetu kujitathmin na baadae kutafuta mbinu...
NA MOHAMED HAKIM
ITAKUMBUKWA kuwa, Mei mosi mwaka 2021 wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia siku...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
KWA mujibu wa kumbukumbu zetu mnamo Machi 8 mwaka 2022, bweni la wanafunzi wanawake katika skuli ya Utaani ambao walikuwa kwenye maandalizi ya mitihani...
By Avit Chami
On 14th October, 2023 Tanzania commemorates 24 years after the death of the country’s first president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. With the...
KILA ifikapo Juni 5, dunia huadhimisha siku muhimu sana kwa mustakabali wa maisha ya viumbe wote wakiwemo binadamu, wanyama, wadudu na miti, hapa namaanisha...
NA ALI SHAABAN JUMA
SIMU za mkononi ni moja kati ya vifaa muhimu katika maisha ya kisasa ambapo kifaa hicho humuwezesha mtumiaji kuwasiliana na watu...
KIKAWAIDA hakuna jambo jema kama kiongozi kuwa mkweli, muwazi na mwenye maono pale unaposimamia maslahi ya wengi katika dhamana yeyote ile.
Hii inatokana na ukweli...
Aliifungia Simba magoli matatu ikishinda 5-0 nchini Zambia
NA MWANDISHI WETU
JE unamkumbuka Thuwein Ally Waziri. Ni mshambuliaji wa zamani wa klabu ya soka ya Simba...
KWA hali ya kawaida kila klabu inapopambana kuhakikisha inaingiza timu yake kwenye Ligi Kuu inakuwa na malengo.
Zipo timu kwenye ligi hazina chengine zinachofikiria zaidi...
NCHINI China, kuwa albino ni laana ni ugonjwa unachukuliwa kuwa bahati mbaya, ambapo jamii huwatenga na kuwatelekeza watu hao.
Tatizo hilo hupelekea mara chache sana...
NA JUMA RAMADHAN, OUT-PEMBA
HATIMAYE volcano iiliyokuwa ikiripuka katika mlima Nyiragongo imepoa, hata hivyo matope ya mato yamesababisha athari kubwa.
Mlima huo ni miongoni mwa milima...
Usafiri, baadhi ya vituo vya polisi kutofanya kazi, kubadilisha taarifa za walalamikaji
NA MWAJUMA JUMA
KATIKA kufikia ndoto ya kweli ya kumaliza unyanyasaji na ukatili wa...
TEKNOLOJIA ya habari na mawasiliano imekuja na mchango wa kipekee katika kuwawezesha wananchi kupata taarifa muhimu wanazozihitaji na kuzipata kwa wakati muafaka ikilinganishwa na...
HIVI karibuni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi alifanya hafla ndogo, lakini ilikuwa maalum kwa umaalum wake ambapo...