Na Saida Issa,Dodoma
SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya tatizo la maji katika mikoa...
By Mohamed Hakim
THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support the government’s agenda of women...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
Gianluca Scamacca
KLABU ya Paris Saint-Germain imekubaliana masharti na Skriniar pamoja na kiungo wa kati wa Lille na Ureno, Renato Sanchez (24) na mshambuliaji wa...
NA MWANDISHI WETU
MABADILIKO katika sehemu yoyote ile ni muhimu sana iwe kwa Serikali, taasisi ya umma ama ya binafsi au wakati mwengine hata nyumbani.
Kwa...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
SEKTA ya utalii ni sekta muhimu sana ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa kwa uchumi wa Zanzibar.
Sekta hiyo ni miongoni mwa rasilimali...
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha zinakuwa endelevu...
BIASHARA huria ni suala lililotiliwa mkazo kwa kuwa kila mmoja aweze namna ya kujitafuta riziki ya halali.
Aidha serikali daima imekuwa ikisisitiza wafanyabiashara kulipa kodi...
WATOTO ni hazina muhimu kwa maisha kila siku. Hazina hiyo kamwe haitoweza kuwa muhimu endapo haitoandaliwa vizuri sambamba, kulindwa na kupewa hifadhi dhidi pingamizi...
KWA miezi kadhaa sasa waumini wa dini ya kiislamu hapa Zanzibar wamo kwenye matayarisho ya kuelekea nchini Saudi Arabia katika miji mitukufu ya Makka...
MPIRA wa magongo ni miongoni mwa michezo mizuri ambayo miaka ya nyuma iliwahi kutamba na kuiletea sifa nzuri Zanzibar ndani na nje ya nchi.
Sambamba...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
DUBAI, UAE
DANUBE Hospitality, the one-stop, end-to-end solution provider for hospitality businesses for the Middle East is paving the way towards sustainability with its multi...
NA ASIA MWALIM
KWA miaka ya hivi karibuni kesi za ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto zimeongezeka ikilinganishwa na kipindi kilichopita.
Matukio ya...
NA KHAMISUU ABDALLAH
UPANDE wa mashitaka, uliokuwa ukiongozwa na Wakili wa serikali kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), Mohammed Haji Kombo, umetakiwa kuwasilisha mashahidi...
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amani, imekiri kutowalipa Askari Polisi stahiki zao ambao walishiriki katika mitihani ya kitaifa ya mwaka 2020, na kuahidi...
NA KHAIRAT SULEIMAN, MADINA ISSA
SERIKALI ya Zanzibar, imesema kupitia Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi (ZFDA), itahakikisha bidhaa zote zinazoingia nchini zenye viwango vinavyokubalika...
NA ABOUD MAHMOUD
IDARA ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, imefanikiwa kubadili maisha ya kundi hilo baada ya kuanzisha mfuko maalum kwa ajili yao pamoja, na...
NA MARYAM HASSAN
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar imesema haitawavumilia baadhi ya watu wanaopanga safu ya uongozi katika uchaguzi wa chama...
NA LULU MUSSA, DODOMA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo amezitaka Asasi zisizo za Kiserikali/Asasi za Kiraia (NGOs,...
NA JOSEPH NGILISHO, ARUSHA
TANZANIA na Kenya zimesaini makubaliano manne kati ya 64 ya kiuchumi katika nyanja za kibiashara ikiwa ni sehemu ya Utekelezaji wa...