Na Saida Issa,Dodoma
SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya tatizo la maji katika mikoa...
By Mohamed Hakim
THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support the government’s agenda of women...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
Gianluca Scamacca
KLABU ya Paris Saint-Germain imekubaliana masharti na Skriniar pamoja na kiungo wa kati wa Lille na Ureno, Renato Sanchez (24) na mshambuliaji wa...
NA MWANDISHI WETU
MABADILIKO katika sehemu yoyote ile ni muhimu sana iwe kwa Serikali, taasisi ya umma ama ya binafsi au wakati mwengine hata nyumbani.
Kwa...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
SEKTA ya utalii ni sekta muhimu sana ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa kwa uchumi wa Zanzibar.
Sekta hiyo ni miongoni mwa rasilimali...
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha zinakuwa endelevu...
BIASHARA huria ni suala lililotiliwa mkazo kwa kuwa kila mmoja aweze namna ya kujitafuta riziki ya halali.
Aidha serikali daima imekuwa ikisisitiza wafanyabiashara kulipa kodi...
WATOTO ni hazina muhimu kwa maisha kila siku. Hazina hiyo kamwe haitoweza kuwa muhimu endapo haitoandaliwa vizuri sambamba, kulindwa na kupewa hifadhi dhidi pingamizi...
KWA miezi kadhaa sasa waumini wa dini ya kiislamu hapa Zanzibar wamo kwenye matayarisho ya kuelekea nchini Saudi Arabia katika miji mitukufu ya Makka...
MPIRA wa magongo ni miongoni mwa michezo mizuri ambayo miaka ya nyuma iliwahi kutamba na kuiletea sifa nzuri Zanzibar ndani na nje ya nchi.
Sambamba...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
DUBAI, UAE
DANUBE Hospitality, the one-stop, end-to-end solution provider for hospitality businesses for the Middle East is paving the way towards sustainability with its multi...
NA ASIA MWALIM
KWA miaka ya hivi karibuni kesi za ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto zimeongezeka ikilinganishwa na kipindi kilichopita.
Matukio ya...
HAKUNA anayebisha kwamba vyombo vya usafiri yakiwemo magari ni sehemu ya maendeleo katika nchi yoyote ile.
Bila shaka usafiri wa gari kwa nchi ni muhimu...
BERLIN, UJERUMANI
UJERUMANI imewaondoa wanajeshi wake wa mwisho kutoka Afghanistan, na kuhitimisha operesheni zake za kijeshi katika taifa hilo.
Wanajeshi wa mwisho wa Ujerumani katika ujumbe...
BEIJING, CHINA
SHIRIKA la Afya duniani (WHO), limeitangaza China kuondokana na ugonjwa wa malaria, baada ya jitihada zilizodumu kwa takribani miaka 70 ya kuutokomeza...
MATERA, ITALIA
WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Japani, Motegi Toshimitsu anasema nchi hiyo itazisaidia nchi za Afrika kuimarisha miundombinu, wakati ikitilia maanani uwepo...
TIGRAY, ETHIOPIA
WAPIGANAJI kutoka jimbo lililokumbwa na mzozo la Tigray, Ethiopia wameonya kwamba wanajeshi wao watatafuta mbinu za kuharibu uwezo wa vikosi vya Ethiopia na...
LYTTON, CANADA
POLISI nchini Canada imesema joto limesababisha vifo mashariki mwa taifa hilo, ambapo katika saa 24 kumetokea vifo vya ghafla takribani 25.
Katika eneo...
NAIROBI, KENYA
MAHAKAMA ya rufaa ya Kenya, imeanza kusikiliza kesi inayoelezwa na wachambuzi kuwa yenye umuhimu mkubwa kwa mstakabali wa kisiasa nchini humo.
Kesi hiyo...
ARUSHA, TANZANIA
JUMUIYA ya Afrika Mashariki imepitisha bajeti ya dola milioni 91.7 kwa mwaka wa fedha 2021-2022.
Bajeti hiyo imetaja vipaumbele 10 ikiwepo maendeleo ya...