MASHEHA wa Mkoa wa Mjini Magharibi, wameelezwa kuwa na wajibu wa kuwasimamia wamiliki wa majengo katika shehia zao kuhakikisha wanalipa kodi hiyo ili serikali...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameondoka jana Zanzibar kuelekea mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi.
Katika safari...
TOKYO, Japani
WAZIRI Mkuu wa Japani, Kishida Fumio na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, wamekubaliana kufanya kazi ili kuboresha hali ya...
DAKAR, Senegal
SADIO Mane, anayevalia jezi nambari 10, ametimiza ndoto yake ya kihistoria ya kuisaidia timu yake ya taifa ya Senegal kushinda kwa mara ya...
Wataalam wa sheria wameonya kuwa Alec Baldwin huenda akashtakiwa kwa mauaji ya bila kukusudia kutokana na tukio la hivi karibuni la risasi ya bahati...
SANAA ya muziki ni moja ya fani maarufu duniani kote iliojizolea mashabiki wengi kutokana na burudani yake inayopatikana.
Umaarufu huo hutokana kwa njia mbali mbali...
NA MWANDISHI WETU
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha...
NA MWANDISHI WETU
TUNAPOANZA juhudi za kupinga vitendo vya udhalilishaji katika jamii, kuna umuhimu kwanza kwa kila mmoja wetu kujitathmin na baadae kutafuta mbinu...
NA MOHAMED HAKIM
ITAKUMBUKWA kuwa, Mei mosi mwaka 2021 wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia siku...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
KWA mujibu wa kumbukumbu zetu mnamo Machi 8 mwaka 2022, bweni la wanafunzi wanawake katika skuli ya Utaani ambao walikuwa kwenye maandalizi ya mitihani...
By Avit Chami
On 14th October, 2023 Tanzania commemorates 24 years after the death of the country’s first president Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. With the...
KILA ifikapo Juni 5, dunia huadhimisha siku muhimu sana kwa mustakabali wa maisha ya viumbe wote wakiwemo binadamu, wanyama, wadudu na miti, hapa namaanisha...
NA ALI SHAABAN JUMA
SIMU za mkononi ni moja kati ya vifaa muhimu katika maisha ya kisasa ambapo kifaa hicho humuwezesha mtumiaji kuwasiliana na watu...
HAKUNA anayebisha kwamba vyombo vya usafiri yakiwemo magari ni sehemu ya maendeleo katika nchi yoyote ile.
Bila shaka usafiri wa gari kwa nchi ni muhimu...
HATIMAYE rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amehukumiwa kifungo cha miezi 15 jela, hatua hiyo inafuatia kupuuza amri ya mahakama ya kumtaka...
TUNAPASWA kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujaalia kuwa salama dhidi ya janga la maradhi ya corona ambalo kwa sasa linaendelea kuwa tishio kubwa katika nchi...
RIPOTI mpya iliyotolewa na ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na dawa na uhalifu UNODC, imeeleza kwamba idadi ya watu wanaotumia mihadarati duniani inaongezeka...
Wengi walalamikia vyombo vya sheria
NA HUSNA MOHAMMED
LICHA ya Zanzibar kuwa na sheria ya Ushahidi Namba. 9 ya mwaka 2016 ambayo imenyima dhamana kwa kesi za udhalilishaji...
ULIMWENGU unaadhimisha siku ya mapambano dhidi ya matumizi ya dawa kulevya, ambapo kwa Zanzibar kama zilivyo nchi nyengine masikini, matumizi ya uraibu huo umesababisha...
Mabodi: Rais Samia ni chuma cha pua, aliyejipambanua kuwahudumia Watanzania ndani ya siku 100 za uongozi wake.
Ameweka kando ukanda, udini, ukabila, ujimbo na kuwaunganisha...
ZASPOTI
UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Soka cha Zanzibar (ZFF), unatarajiwa kufanyika kesho ambapo kutakuwa na wagombea watano wanaowania nafasi hiyo kwa ajili ya mustakabali...