Na Saida Issa,Dodoma
SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya tatizo la maji katika mikoa...
By Mohamed Hakim
THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support the government’s agenda of women...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
Gianluca Scamacca
KLABU ya Paris Saint-Germain imekubaliana masharti na Skriniar pamoja na kiungo wa kati wa Lille na Ureno, Renato Sanchez (24) na mshambuliaji wa...
NA MWANDISHI WETU
MABADILIKO katika sehemu yoyote ile ni muhimu sana iwe kwa Serikali, taasisi ya umma ama ya binafsi au wakati mwengine hata nyumbani.
Kwa...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
SEKTA ya utalii ni sekta muhimu sana ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa kwa uchumi wa Zanzibar.
Sekta hiyo ni miongoni mwa rasilimali...
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha zinakuwa endelevu...
BIASHARA huria ni suala lililotiliwa mkazo kwa kuwa kila mmoja aweze namna ya kujitafuta riziki ya halali.
Aidha serikali daima imekuwa ikisisitiza wafanyabiashara kulipa kodi...
WATOTO ni hazina muhimu kwa maisha kila siku. Hazina hiyo kamwe haitoweza kuwa muhimu endapo haitoandaliwa vizuri sambamba, kulindwa na kupewa hifadhi dhidi pingamizi...
KWA miezi kadhaa sasa waumini wa dini ya kiislamu hapa Zanzibar wamo kwenye matayarisho ya kuelekea nchini Saudi Arabia katika miji mitukufu ya Makka...
MPIRA wa magongo ni miongoni mwa michezo mizuri ambayo miaka ya nyuma iliwahi kutamba na kuiletea sifa nzuri Zanzibar ndani na nje ya nchi.
Sambamba...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano
KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma wenu ni umma mmoja na...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
DUBAI, UAE
DANUBE Hospitality, the one-stop, end-to-end solution provider for hospitality businesses for the Middle East is paving the way towards sustainability with its multi...
NA ASIA MWALIM
KWA miaka ya hivi karibuni kesi za ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto zimeongezeka ikilinganishwa na kipindi kilichopita.
Matukio ya...
Youssef En-Nesyri
ARSENAL itamtoa mshambuliaji wa Ufaransa, Alexandre Lacazette (30), kwa Sevilla kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili mshambuliaji wa Morocco mwenye umri wa miaka...
NA ASIA MWALIM
TAASISI mbali mbali zilizopo nchini zimetakiwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuhakikisha wanakuza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi hapa...
NA MWAJUMA JUMA
DIWANI wa Wadi ya Dimani, Khamis Omar Khamis, amesema mazingira bora ya upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi yatawawezesha kufanya vizuri na kufaulu...
NA TATU MAKAME
MKUU wa Wilaya ya Kaskazini ‘B’, Hamid Seif Said, ameitaka jamii kushirikiana na watu wenye ulemavu katika shughuli mbali mbali ili kuweka...
NA LAYLAT KHALFAN
KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais, Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, Khadija Khamis Rajab, amesema serikali ina azma ya kuchukua hatua za kutetea...
TOKYO, JAPANI
NHK imebaini kuwa serikali ya Japani inapanga kufanya majaribio wakati ikielekea kuregeza masharti ya kukabiliana na virusi vya korona.
Kuregezwa kwa masharti hayo kutahusisha...
MOSCOW,URUSI
UMOJA wa Mataifa umesema Urusi inakwamisha mchakato wa kuliteua jopo la wataalamu huru lenye jukumu la kufuatilia utekelezwaji wa vikwazo katika nchi nne za...
RABAT, MOROCCO
MAHAKAMA ya juu ya Umoja wa Ulaya imeifuta mikataba miwili ya biashara na Morocco, ambayo ilikuwa inairuhusu nchi hiyo kufanya biashara zake kutoka...
Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano
KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma...