Monthly Archives: December, 2021

Zanzibar yaanzisha mashindano ya kuogelea

NA LAYLAT KHALFAN WAZIRI wa Habari , Vijana, Utamaduni na Michezo, Tabia Maulid Mwita, amesema mashindano ya kuogelea yameanzishwa Zanzibar ingawa hakuna klabu nyingi za...

Mafunzo,Black Sailors zaramba bume

NA ABOUD MAHMOUD TIMU ya Mafunzo jana wametoa mafunzo  kwa Taifa Jang'ombe wakombozi wa ng'ambo, baada ya kuwafunga mabao 2-0 kwenye mchezo wa ligi kuu...

Yanga yaipa mtaji Biashara United

NA MWANDISHI WETU KIKOSI cha Yanga kimeifungua maboksi ya zawadi ya Christmas kwa ushindi mbele ya Biashara United ya Mara. Dakika 90 zilikamilika Uwanja wa Mkapa...

X-Mass yasheherekewa kwa amani Mjini Magharibi

NA MADINA ISSA JESHI la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limesema hakuna tukio la kushitua la uhalifu lilotokezea katika sikukuu ya Krismasi iliyomalizika mwishini mwa...

Dk. Mwinyi awaapisha wajumbe tume ya mipango

NA MWANDISHI WETU, IKULU RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,  Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha wajumbe wapya wa Tume ya Mipango ya...

JUMAZA yapongeza ahadi ya serikali uingizaji vileo

NA MWANDISHI WETU JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA), imempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum, Masoud...

Mchakato ujenzi ‘Darajani Bazaar’ waiva

NA LAYLAT KHALFAN WAFANYABIASHARA wa eneo la Darajani pembezoni mwa ukuta wa ofisi Kuu ya CCM Zanzibar Kisiwandui, wamepewa muda wa wiki mbili kuhama katika...

AZAKI zina mchango katika maendeleo ya Z’bar  – Dk. Mkuya

NA TATU MAKAME WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Dk. Saada Mkuya Salum, amesema Asasi za Kiraia (AZAKI) zina mchango mkubwa...

Latest news

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma...
- Advertisement -

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya...

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support...

Must read

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja...

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...