Monthly Archives: January, 2022

Tunakupongeza Dk.Mwinyi kwa uamuzi wa kuzungumza na wanahabari kila mwezi

TUNAKUMBUKA mnamo Novemba 2 mwaka 2020, ilikuwa siku ambayo umma wa wazanzibari macho na masikio yao yalielekezwa ikulu kwenye hafla ya kuapishwa baraza la...

WEMA mabingwa Mapinduzi Cup

NA ZAINAB ATUPAE TIMU ya soka ya Wizara ya Elimu na  Mafunzo ya Amali  (WEMA) imetetea ubingwa wake baada ya ushindi wa bao 1-0, dhidi...

Ujamaa yaonja kichapo

NA MWAJUMA JUMA KLABU ya Soka ya Ujamaa imeonja machungu baada ya juzi kufungwa bao 1-0 na Nyerere Boys, katika mchezo wake wa ligi daraja...

Aubameyang akaribia kutua Barcelona

LONDON, Engalnd ARSENAL wanakaribia kufikia makubaliano na Barcelona kumchukua Pierre-Emerick Aubameyang kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. Mshahara wa Aubameyang ndio suala kuu la kusuluhishwa...

Greenwood akamatwa na polisi kwa ubakaji

LONDON, England MCHEZAJI wa Manchester United Mason Greenwood amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na shambulio kufuatia madai kwenye mitandao ya kijamii. Polisi wa Greater Manchester walisema...

Nusu fainali AFCON kuanza kesho

YAOUNDÉ, Cameroon TIMU ya taifa ya Senegal imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Equatorial...

Newcastle yamsajili Dan Burn

LONDON, England BRIGHTON wamekubali mkataba wa pauni milioni 13 na Newcastle kwa ajili ya beki wa kati Dan Burn kurejea kwao Kaskazini Mashariki. Newcastle walikuwa wamemlenga...

Kiunjuri akataa kufanya kazi na Raila

NAIROBI, KENYA KIONGOZI wa Chama cha Huduma Mwangi Kiunjuri amekataa kujiunga na vuguvugu la azimio la Umoja la Raila Odinga, hata kama alishikilia kuwa yuko...

Latest news

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma...
- Advertisement -

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya...

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support...

Must read

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja...

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...