Monthly Archives: February, 2022

Aliyeegesha gari kona ya barabara alipishwa faini

NA KHAMISUU ABDALLAH IBRAHIM Abdalla (40) mkaazi wa Kiembesamaki aliyedaiwa kusimamisha gari yake kwenye mpido wa barabara amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo. Mshitakiwa huyo alifikishwa katika...

Jeshi la Polisi, Waandishi wajalidi uhusiano

NA MWANDISHI WETU MKUU wa Mkoa Mjini Mgharibi Idirisa Kitwana Mustafa amewataka waandishi wa habari nchini kushirikiana na jeshi la polisi katika utekelezaji wa majukumu...

SUZA, REMAX wasaidieni madalali wafuate mfumo rasmi

NA LAYLAT KHALFAN WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Simai Mohamed Said, amekitaka Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) na kampuni ya REMAX,...

Vijana washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi wa buluu

NA ASIA MWALIM VIJANA nchini wameshauriwa  kuchangamkia fursa zinazopatikana kupitia  uchumi wa Buluu, ili kufaidika zaidi kuliko makundi mengine. Ushauri huo umetolewa na Katibu Msaidizi Idara...

Kamati BLW yaitupia shutuma ZAECA

NA MWAJUMA JUMA, ASYA HASSAN KAMATI ya kuchunguza na Kudhibiti Hesabu za Serikali za Mitaa na Mashirika ya Umma (LAAC), imeishangaa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa...

11 wafariki katika mgodi wa makaa, Colombia

BOGOTÁ, COLOMBIA WATU 11 wamefariki baada ya gesi aina ya methani kulipuka katika mgodi wa makaa ya mawe uliopo katikati ya Colombia. Kulingana na taarifa ya...

Wapinzani wa Ufaransa na utawala wa kijeshi waandamana CHAD

N'DJAMENA, CHAD WAANDAMANAJI wapatano 500 wameitikia wito wa vyama vya upinzani wa kufanya maandamano dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa pamoja na utawala wa kijeshi nchini...

Nigeria yadai wanafunzi walinyanyaswa mpakani Ukraine

ABUJA, NIGERIA Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameeleza kutofurahishwa na visa vinavyoripotiwa vya unyanyasaji wa baadhi ya raia wa Nigeria wanaojaribu kuikimbia Ukraine. Jumla ya raia...

Latest news

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma...
- Advertisement -

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya...

Minister commends introduction of Zanzibar Woman of the Year Award

By Mohamed Hakim THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support...

Must read

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja...

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...