Na Saida Issa,Dodoma
SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde la Wami Ruvu imesema kuwa imejipanga kuhakikisha inamaliza changamoto ya tatizo la maji katika mikoa...
By Mohamed Hakim
THE introduction of the Zanzibar Woman of the Year Award expresses how Non- Governmental Organizations (NGOs) support the government’s agenda of women...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
Gianluca Scamacca
KLABU ya Paris Saint-Germain imekubaliana masharti na Skriniar pamoja na kiungo wa kati wa Lille na Ureno, Renato Sanchez (24) na mshambuliaji wa...
NA MWANDISHI WETU
MABADILIKO katika sehemu yoyote ile ni muhimu sana iwe kwa Serikali, taasisi ya umma ama ya binafsi au wakati mwengine hata nyumbani.
Kwa...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
SEKTA ya utalii ni sekta muhimu sana ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa pato la taifa kwa uchumi wa Zanzibar.
Sekta hiyo ni miongoni mwa rasilimali...
ILI nchi yoyote duniani iweze kufikia malengo ya kimaendeleo, haina budi kuwa na mipango bora katika matumizi ya rasilimali zake, ili kuhakikisha zinakuwa endelevu...
BIASHARA huria ni suala lililotiliwa mkazo kwa kuwa kila mmoja aweze namna ya kujitafuta riziki ya halali.
Aidha serikali daima imekuwa ikisisitiza wafanyabiashara kulipa kodi...
WATOTO ni hazina muhimu kwa maisha kila siku. Hazina hiyo kamwe haitoweza kuwa muhimu endapo haitoandaliwa vizuri sambamba, kulindwa na kupewa hifadhi dhidi pingamizi...
KWA miezi kadhaa sasa waumini wa dini ya kiislamu hapa Zanzibar wamo kwenye matayarisho ya kuelekea nchini Saudi Arabia katika miji mitukufu ya Makka...
MPIRA wa magongo ni miongoni mwa michezo mizuri ambayo miaka ya nyuma iliwahi kutamba na kuiletea sifa nzuri Zanzibar ndani na nje ya nchi.
Sambamba...
MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu.
Mataifa hayo...
Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano
KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma wenu ni umma mmoja na...
NA ASIA MWALIM
LICHA ya Serikali kuanzisha mradi wa kurejesha madarasani watoto walioacha skuli, bado kundi kubwa la watoto wapo mitaani wakizurura ovyo na wengine...
DUBAI, UAE
DANUBE Hospitality, the one-stop, end-to-end solution provider for hospitality businesses for the Middle East is paving the way towards sustainability with its multi...
NA ASIA MWALIM
KWA miaka ya hivi karibuni kesi za ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto zimeongezeka ikilinganishwa na kipindi kilichopita.
Matukio ya...
NA HAFSA GOLO
LEO au kesho waumini wa dini ya kiislamu Ulimwenguni wanatarajia kuanza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambao wamefaradhishiwa kufunga kwa kila...
NA ARAFA MOHAMMED
JAMII nchini imeshauriwa kujifunza namna ya utunzaji wa rasilimali za nchi ikiwemo bahari, ili ziweze kudumu kwa muda mrefu.
Hayo yameelezwa kwenye Kongamano...
NA ASYA HASSAN
JAMII imetakiwa kutumia viongozi wa serikali na kijamii waliopo katika maeneo yao kudhibiti na kuipatia ufumbuzi migogoro inayojitokeza ili kuimarisha amani na...
NA KHAMISUU ABDALLAH
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Uchumi na Uwekezaji, Mudrik Ramadhan Soraga, amesema kuwa serikali inaendelea kuchukua hatua za kuimarisha mazingira ya...
PARIS, Uswisi
SHIRIKISHO la Soka Duniani na Kampuni ya Adidas, wametambulisha mpira mpya utakaotumika kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar 2022 na kupewa...
LONDON, England
KIUNGO wa zamani wa Liverpool, Dirk Kuyt, anaamini, Manchester United itakuwa imeokota 'imeukata' ikiwa watampa kibarua, Erik Ten Hag, kama kocha atakayerithi mikoba...
LONDON, England
KLABU ya Chelsea itaendelea kuvaa nembo ya '3' kwenye jezi zao, licha ya kampuni hiyo kusitisha udhamini wa pauni milioni 40 kwa mwaka...
Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano
KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja na inatukataza tusifarikiane, kama ilivyoeleza, "Na kwa yakini huu umma...