Most recent articles by:

Zanzibar leo

- Advertisement -

Wataamu wa China, Kenya wajadiliana nyanja ya kilimo 

MDAHALO kuhusu ushirikiano wa kilimo duniani: Mazao Kutoka Kenya na Soko la China, ulioandaliwa na Idhaa ya Kiswahili ya Shirika Kuu la Utangazaji la...

SMZ yapokea 1.47bn/- za miamala ya simu

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema imepokea wastani wa shilingi bilioni 1.47 kila mwezi, zinazotokana na tozo za miamala ya simu. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi...

SUZA yapokea vitabu vya utamaduni lugha ya Kichina

CHUO Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kupitia Idara ya Mawasiliano na Mafunzo ya Habari, kimepokea msaada wa vitabu vinavyoelezea utamaduni, historia na lugha...

Shaka ataka wakulima wa korosho wapatiwe pembejeo

 KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, ameiagiza serikali ya mkoa wa Mtwara kuacha kuchelewesha ugawaji...

Zanzibar Queens inahitaji kuungwa mkono

MICHUANO ya Soka ya Wanawake ya Chalenji Afrika Mashariki na Kati, tayari yameanza kutimua vumbi nchini Uganda, ikiyashirikisha mataifa manane ya ukanda huu. Mataifa hayo...

Ziara za wasanii ulaya ziitangaze vyema Zanzibar

SANAA ya muziki ni moja ya fani maarufu duniani kote iliojizolea mashabiki wengi kutokana na burudani yake inayopatikana. Umaarufu huo hutokana kwa njia mbali mbali...

OPEC+ yakubali kuongeza uzalishaji wa mafuta

NCHI zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani zimeamua kuongeza uzalishaji ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka duniani. Zimekubaliana kuongeza uzalishaji kwa mapipa 648,000 kwa siku mwezi ujao. Uamuzi huo...

Rais wa Tunisia ashutumiwa kwa kudumaza kidemokrasia

WASHINGTON imemshutumu Rais wa Tunisia, Kais Saied kwa kudumaza taasisi za kidemokrasia za nchi hiyo baada ya kuwafukuza kazi majaji kadhaa huku kukiwa na...

Must read

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano

Uislamu unasisitiza umoja, mshikamano KUR'AN tukufu inatutaka waislamu tuwe wamoja...

Serikali yajipanga kumaliza tatizo la maji

Na Saida Issa,Dodoma SERIKALI kupitia Bodi ya Maji ya Bonde...
- Advertisement -