Dk. Mwinyi: Serikali inakopesheka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kwa mujibu wa viwango vya kitaalamu vya kimataifa vya kiuchumi, Zanzibar… Read More »Dk. Mwinyi: Serikali inakopesheka
Most important story
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kwa mujibu wa viwango vya kitaalamu vya kimataifa vya kiuchumi, Zanzibar… Read More »Dk. Mwinyi: Serikali inakopesheka
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema marehemu Cleopa David Msuya, alikuwa zawadi sio kwa jamii na familia yake, bali… Read More »Kwaheri Cleopa Msuya
NA KHAMISUU ABDALLAH RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi anatarajia kuunda kamati maalum ya kumshauri namba bora ya kukuza soka la Zanzibar. Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hafla ya chalula cha mchana aliyoiandaa kwa ajili yakuwapongeza mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Cup timu ya Taifa ya Zanzibar,… Read More »Dk. Mwinyi anogesha furaha Zanzibar Heroes
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyiamewataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kufanya mazoezi kwani ni kinga madhubutidhidi ya maradhi hasa yasioambukiza. Dk. Mwinyi aliyasema hayo katika viwanja vya Mnazimmoja Wete wakati akizungumza nawananchi waliojikeza katika bonanza la mazoezi kitaifa lililoambata na na matembeziyaliyoanzia katika uwanja wa mpira Kinyasini hadi uwanja wa Mnazimmoja, Wete Pemba. Alieleza kuwa kufanya mazoezi kutaweza kupunguza na kuondosha maradhi yasioambukizayakiwemo ya kisukari, presha pamoja na unene uliyokithiri. Aidha Dk. Mwinyi alifahamisha kuwa kuwa maradhi yasioambukiza yamekuwa yakiongezekasiku hadi siku yakilinganishwa na maradhi yanayoambukiza ambayo yalikuwa yakiongoza katikamiaka iliyopita. “Niwaombe sana ndugu wananchi, tusiache kufanya mazoezi kwani kufanya mazoezikunapelekea kujikinga na maradhi yasioambukiza, hili tuelewe wazi”, alieleza Dk. Mwinyi. “Lakini pia niwafahamishe wana michezo wenzangu kuwa mazoezi ni afya, hivyo tuendeleekufanya mazoezi ili tuweze kuweka miili yetu sawa”, alieleza Dk. Mwinyi. Sambamba na hayo Rais Mwinyi aliwataka wananchi wa Zanzibar kuendelea kudumisha hali ya amani, umoja na utulivu uliopo nchini hasa katika kipindi hiki nchi ikielekea katika uchaguzimkuu hapo baadae. “Niwaombe sana viongozi wa dini na wanasiasa kuendelee kuwahubiria wafuasi wetu juu ya umuhimu wa kuitunza amani ya nchi iliyopo”, alisisitiza Dk. Mwinyi. Mapaema Dk. Mwinyi aliupongeza uongozi wa Chama cha Wafanya Mazoezi Zanzibar (ZABESA) kwa kuwashajihisha wananchi kuendelea kufanya mazoezi pamoja na kuendelezasiku ya mazoezi kitaifa nchini. Aidha… Read More »Dk. Mwinyi: Mazoezi kinga madhubuti ya maradhi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema ameridhika na viwango vya kisasa vilivyofikiwa katika ujenzi hoteli ya New… Read More »Dk. Mwinyi: Nimeridhika viwango vya ubora Amaani Complex
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kujenga uwanja mkubwawa michezo wenye hadhi ya kimataifa, kitakachotumika kwa michuano ya kimataifaikiwemo michuano ya kombe la mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2027. Dk. Mwinyi alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na wadau wa michezo waliohudhuria hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa viwanja vya michezoMaisara (Maisara Sports Complex), mkoa wa Mjini Magharibi ikiwa ni muendelezo wa shamrashamra za miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar. “Tuna dhamira ya kweli ya kujenga uwanja wa kisasa wa… Read More »Dk. Mwinyi: Tutajenga uwanja mfano wa ‘Old Traford’
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi,amesema ukaguzi una mchango mkubwa katika kuimarisha uchumi wa Zanzibar. Dk. Mwinyi alieleza hayo katika kilele… Read More »Dk. Mwinyi: Ukaguzi umeimarisha uchumi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema aliahidi kukabiliana na changamoto zinazoathiri maendeleo na haki za wananchi wakati serikali ya awamu ya… Read More »Dk. Mwinyi: ZPDB imeimarisha utendaji
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka kamati ya kitaifa na timu kuu ya kitaalamu ya dira ya… Read More »Dk. Mwinyi azindua rasimu ya dira maendeleo 2050
RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ameitaka wizara ya mawasiliano na teknolojia kuhakikisha Tanzania nayo inakwenda sambamba na kasi ya mabadiliko… Read More »Dk. Samia awataka mawaziri kwenda na kasi ya mabadiliko
CHUO Kikuu cha Zanzibar (ZU), kimemtunuku shahada ya heshima ya uzamivu uchumi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi… Read More »Dk. Mwinyi atunukiwa udaktari wa heshima wa uchumi
MKE wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi amesema maradhi ya saratani ni hatari na yanarejesha nyuma juhudi za jamii na uchumi hata kusababisha umasikini… Read More »Mama Mariam: Maradhi ya saratani yanarejesha nyuma uchumi