NA KHAMISUU ABDALLAH RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi anatarajia kuunda kamati maalum ya kumshauri namba bora ya kukuza soka la Zanzibar. Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hafla ya chalula cha mchana aliyoiandaa kwa ajili yakuwapongeza mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Cup timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, hafla iliyofanyika Ikulu mjini Zanzibar. Alisema kamati hiyo pamoja...
Dk. Mwinyi anogesha furaha Zanzibar Heroes
NA KHAMISUU ABDALLAH RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi anatarajia kuunda kamati maalum ya kumshauri namba bora ya kukuza soka la Zanzibar. Dk. Mwinyi alieleza hayo katika hafla ya chalula cha mchana aliyoiandaa kwa ajili yakuwapongeza mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Cup timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, hafla iliyofanyika Ikulu mjini Zanzibar. Alisema kamati hiyo pamoja...